Kwa kumalizia ni lazima Tawhiyd itendewe kazi kwa moyo, mdomo na matendo. Iwapo atamwabudu Allaah pekee kwa moyo wake – kwa madai yake – lakini akashirikisha kwa mdomo wake au kwa matendo yake hakutomfaa chochote. Au akamwabudu Allaah pekee kwa moyo na mdomo wake lakini akashirikisha kwa matendo yake kama mfano wa kumsujudia mwengine asiyekuwa Allaah na akamchinjia mwengine asiyekuwa Allaah, au akamwabudu Allaah pekee kwa matendo na kwa moyo wake lakini akamshirikisha Allaah kwa maneno ambapo akaomba pamoja na Allaah au akawataka msaada wengine wasiokuwa Allaah, yote haya hukumu yake ni moja. Ni lazima Tawhiyd iwe kwa moyo, mdomo na matendo.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 130
- Imechapishwa: 27/10/2021
Kwa kumalizia ni lazima Tawhiyd itendewe kazi kwa moyo, mdomo na matendo. Iwapo atamwabudu Allaah pekee kwa moyo wake – kwa madai yake – lakini akashirikisha kwa mdomo wake au kwa matendo yake hakutomfaa chochote. Au akamwabudu Allaah pekee kwa moyo na mdomo wake lakini akashirikisha kwa matendo yake kama mfano wa kumsujudia mwengine asiyekuwa Allaah na akamchinjia mwengine asiyekuwa Allaah, au akamwabudu Allaah pekee kwa matendo na kwa moyo wake lakini akamshirikisha Allaah kwa maneno ambapo akaomba pamoja na Allaah au akawataka msaada wengine wasiokuwa Allaah, yote haya hukumu yake ni moja. Ni lazima Tawhiyd iwe kwa moyo, mdomo na matendo.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 130
Imechapishwa: 27/10/2021
https://firqatunnajia.com/35-hitimisho-ya-sharh-kashf-ish-shubuhaat/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)