Swali 33: Maiti akiwa ameacha anausia aswaliwe na mtu maalum. Je, mtu huyu ana haki zaidi kuliko imamu mteulie[1]?
Jibu: Imamu wa msikiti ana haki zaidi ya kuswalia jeneza kuliko mtu aliyeacha anausiwa. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Mtu asimwongoze mwengine kabisa katika utawala wake.”[2]
Imamu wa msikiti ndiye mwenye utawala msikitini mwake.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/137).
[2] Muslim (673).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 28-29
- Imechapishwa: 19/12/2021
Swali 33: Maiti akiwa ameacha anausia aswaliwe na mtu maalum. Je, mtu huyu ana haki zaidi kuliko imamu mteulie[1]?
Jibu: Imamu wa msikiti ana haki zaidi ya kuswalia jeneza kuliko mtu aliyeacha anausiwa. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Mtu asimwongoze mwengine kabisa katika utawala wake.”[2]
Imamu wa msikiti ndiye mwenye utawala msikitini mwake.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/137).
[2] Muslim (673).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 28-29
Imechapishwa: 19/12/2021
https://firqatunnajia.com/33-maiti-aswaliwe-na-imamu-wa-msikiti-au-aliyeachiwa-wasia/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)