7 – Mzee mtumzima mwanaume na mwanamke na vivyo hivyo mgonjwa mwenye maradhi yasiyotarajiwa kupona watakula na kila mmoja wao atatakiwa kulisha masikini kwa kila siku iliyowapita. Hapa ni pale ambapo hawawezi kufunga kwa mujibu wa maoni ya wanazuoni wengi. Wamesema japokuwa Aayah yenye kusema:
وَعَلَى الَّذِينَ يُطِيقُونَهُ فِدْيَةٌ طَعَامُ مِسْكِينٍ
”Kwa wale wanaoiweza lakini kwa tabu watoe fidia.”[1]
imefutwa, lakini hata hivyo hukumu ya kulisha bado ni yenye kuendelea kufanya kazi kwa mzee na kwa mgonjwa ambaye maradhi yake si yenye kutarajiwa kupona.
[1] 02:184
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Duruus fiy Ramadhwaan, uk. 44-45
- Imechapishwa: 22/04/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)