8 – Inapendeza kwa ndugu kuwafungia maiti wao. Inasihi kuwafungia. al-Bukhaariy na Muslim wamepokea kupitia kwa ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anh) aliyesimulia kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mwenye kufa na anadaiwa swawm, basi amfungie walii wake.”[1]
Akitaka atamtolea chakula kwa kila siku moja aliyokuwa anadaiwa. Kwa hivyo ndugu huyu wa maiti amekhiyarishwa baina ya kumfungia na kumtolea chakula.
Swalah na amani zimwendee Mtume wetu Muhammad, kizazi chake na Maswahabah zake.
[1] al-Bukhaariy (1952) na Muslim (1147).
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Duruus fiy Ramadhwaan, uk. 45
- Imechapishwa: 22/04/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)