02 – Kila mmoja wa wanandoa atambue haki ya mwingine[1]
Mume asimdhulumu mke na wala mke asimdhulumu mume. Kila mmoja ana haki yake. Kwa hiyo ni lazima amche Allaah juu ya haki ya mwenza wake.
[1] Tazama https://firqatunnajia.com/category/makala/fiqh/nikaah/matangamano-na-maelewano-kati-ya-mume-na-mke/haqq-uz-zawjayn-kuishi-kwa-wema/
- Muhusika: Shaykh Jamaal bin Furahyaan al-Haarithiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Twalaaq – asbaabuhu wa ´ilaajuh, uk. 41
- Imechapishwa: 22/04/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)