Swali 24: Je, ni lazima kupangusa kitata chote?
Jibu: Ndio, apanguse yote. Kimsingi ni kuwa mwili una hukumu ileile ya kile kitu cha mbadala muda wa kuwa Sunnah haijaonesha kinyume chake. Hapa upangusaji unachukua nafasi ya kuosha. Kama jinsi kuosha ni wajibu kueneza maji kiungo kizima vivyo hivyo ni lazima kupangusa kitata chote.
Ama kupangusa juu ya soksi za ngozi, ni ruhusa ambayo Sunnah imethibiti kuonyesha kuwa inatosheleza kupangusa sehemu yake.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Buhuuth wa Fataawaa fiyl-Mas´h ´alaal-Khuffayn, katika Majmuu´-ul-Fataawaa (11/173)
- Imechapishwa: 06/05/2021
Swali 24: Je, ni lazima kupangusa kitata chote?
Jibu: Ndio, apanguse yote. Kimsingi ni kuwa mwili una hukumu ileile ya kile kitu cha mbadala muda wa kuwa Sunnah haijaonesha kinyume chake. Hapa upangusaji unachukua nafasi ya kuosha. Kama jinsi kuosha ni wajibu kueneza maji kiungo kizima vivyo hivyo ni lazima kupangusa kitata chote.
Ama kupangusa juu ya soksi za ngozi, ni ruhusa ambayo Sunnah imethibiti kuonyesha kuwa inatosheleza kupangusa sehemu yake.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Buhuuth wa Fataawaa fiyl-Mas´h ´alaal-Khuffayn, katika Majmuu´-ul-Fataawaa (11/173)
Imechapishwa: 06/05/2021
https://firqatunnajia.com/24-je-ni-lazima-kupangusa-kitata-chote/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)