Swali 23: Je, ni lazima kukusanya kati ya Tayammum na kupangusa juu ya kitata?
Jibu: Si lazima kukusanya kati ya mawili hayo. Kuwajibisha twahara mbili juu ya kiungo kimoja ni jambo linakwenda kinyume na misingi ya Shari´ah. Ni lazima kusafisha kiungo hichi kwa kutumia njia moja. Ama kuwajibisha kukisafisha kwa twahara mbili ni jambo lisilokuwa na mfano katika Shari´ah. Allaah hamfaradhishii mja ´ibaadah mbili ambayo sababu yake ni moja.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Buhuuth wa Fataawaa fiyl-Mas´h ´alaal-Khuffayn, katika Majmuu´-ul-Fataawaa (11/173)
- Imechapishwa: 06/05/2021
Swali 23: Je, ni lazima kukusanya kati ya Tayammum na kupangusa juu ya kitata?
Jibu: Si lazima kukusanya kati ya mawili hayo. Kuwajibisha twahara mbili juu ya kiungo kimoja ni jambo linakwenda kinyume na misingi ya Shari´ah. Ni lazima kusafisha kiungo hichi kwa kutumia njia moja. Ama kuwajibisha kukisafisha kwa twahara mbili ni jambo lisilokuwa na mfano katika Shari´ah. Allaah hamfaradhishii mja ´ibaadah mbili ambayo sababu yake ni moja.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Buhuuth wa Fataawaa fiyl-Mas´h ´alaal-Khuffayn, katika Majmuu´-ul-Fataawaa (11/173)
Imechapishwa: 06/05/2021
https://firqatunnajia.com/23-je-ni-lazima-kukusanya-kati-ya-tayammum-na-kupangusa-juu-ya-kitata/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)