Swali 22: Je, imeshurutishwa kupangusa juu ya kitata kisiwe kimefunika zaidi ya vile mtu anavohitajia?
Jibu: Haifai kupangusa juu ya kitata isipokuwa wakati wa haja. Ni lazima kuikadiria kwa makadirio yake. Haja haikufupika yale maeneo ya maumivu au ya donda peke yake. Kila ile sehemu inayohitajika ili kitata au plasta hii iwe imara basi ni haja. Ikiwa mtu amevunjika kwenye kidole lakini kukahitajika kufunga kidole kizima, basi hiyo ni haja.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Buhuuth wa Fataawaa fiyl-Mas´h ´alaal-Khuffayn, katika Majmuu´-ul-Fataawaa (11/173)
- Imechapishwa: 06/05/2021
Swali 22: Je, imeshurutishwa kupangusa juu ya kitata kisiwe kimefunika zaidi ya vile mtu anavohitajia?
Jibu: Haifai kupangusa juu ya kitata isipokuwa wakati wa haja. Ni lazima kuikadiria kwa makadirio yake. Haja haikufupika yale maeneo ya maumivu au ya donda peke yake. Kila ile sehemu inayohitajika ili kitata au plasta hii iwe imara basi ni haja. Ikiwa mtu amevunjika kwenye kidole lakini kukahitajika kufunga kidole kizima, basi hiyo ni haja.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Buhuuth wa Fataawaa fiyl-Mas´h ´alaal-Khuffayn, katika Majmuu´-ul-Fataawaa (11/173)
Imechapishwa: 06/05/2021
https://firqatunnajia.com/22-je-imeshurutishwa-kupangusa-juu-ya-kitata-kisiwe-kimefunika-zaidi-ya-vile-mtu-anavohitajia/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)