Swali: Ni ipi hukumu ya kusafisha meno kwa Siwaak katika Ramadhaan?
Jibu: Inafaa kutumia Siwaak katika Ramadhaan nzima, ni mamoja michana na nyusiku zake. Ibn Rabiy´ah amesema:
“Mara zisizohesabika na kudhibitika nilimuona Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akitumia Siwaak ilihali amefunga.”[1]
[1] Abu Daawuud (2364) na at-Tirmidhiy (725).
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aalush-Shaykh
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Min Fataawaas-Swiyaam, uk. 25
- Imechapishwa: 24/03/2022
Swali: Ni ipi hukumu ya kusafisha meno kwa Siwaak katika Ramadhaan?
Jibu: Inafaa kutumia Siwaak katika Ramadhaan nzima, ni mamoja michana na nyusiku zake. Ibn Rabiy´ah amesema:
“Mara zisizohesabika na kudhibitika nilimuona Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akitumia Siwaak ilihali amefunga.”[1]
[1] Abu Daawuud (2364) na at-Tirmidhiy (725).
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aalush-Shaykh
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Min Fataawaas-Swiyaam, uk. 25
Imechapishwa: 24/03/2022
https://firqatunnajia.com/23-siwaak-pindi-mtu-amefunga-ramadhaan/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)