2- Miongoni mwa matunda ya elimu ni kuwa na ´Aqiydah sahihi. Atayejifunza elimu ya Kishari´ah kutoka katika vitabu vya as-Salaf as-Swaalih, basi ´Aqiydah yake itakuwa sahihi, ujuzi wake juu ya Mola Wake utakuwa mzuri na atajua hadhi ya Mola Wake (Subhaanahu wa Ta´ala). Atayemtambua Allaah ipasavyo atamcha ipasavyo. Kikubwa anachoweza mwanafunzi kufikia ni kuwa na ´Aqiydah sahihi ataponyooka katika kutafuta elimu na ikawa kujifunza kwake elimu ni kupitia vitabu vya as-Salaf as-Swaalih. Haya ni miongoni mwa matunda makubwa ambayo mwanafunzi anatakiwa kuyapupia.
- Muhusika: Shaykh Sulaymaan bin Saliymillaah ar-Ruhayliy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-´Ilm wa Wasaaailuh wa Thimaaruh
- Imechapishwa: 22/10/2016
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)