35 – ´Ubaydullaah bin Muusa ametuhadithia: Sulaymaan bin Zayd al-Muhaaribiy Abu Idaam ametukhabarisha: Nimemsikia ´Abdullaah bin Awfaa (Radhiya Allaahu ´anh), kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), ambaye amesema:
”Rehema haiwashukii watu ambao miongoni mwao kuna anayekata kizazi.”
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Ismaa´iyl al-Bukhaariy (a.f.k 256)
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Birr-ul-Waalidayn, uk. 125-126
- Imechapishwa: 13/01/2025
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)