35 – ´Ubaydullaah bin Muusa ametuhadithia: Sulaymaan bin Zayd al-Muhaaribiy Abu Idaam ametukhabarisha: Nimemsikia ´Abdullaah bin Awfaa (Radhiya Allaahu ´anh), kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), ambaye amesema:
”Rehema haiwashukii watu ambao miongoni mwao kuna anayekata kizazi.”
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Ismaa´iyl al-Bukhaariy (a.f.k 256)
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Birr-ul-Waalidayn, uk. 125-126
- Imechapishwa: 13/01/2025
35 – ´Ubaydullaah bin Muusa ametuhadithia: Sulaymaan bin Zayd al-Muhaaribiy Abu Idaam ametukhabarisha: Nimemsikia ´Abdullaah bin Awfaa (Radhiya Allaahu ´anh), kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), ambaye amesema:
”Rehema haiwashukii watu ambao miongoni mwao kuna anayekata kizazi.”
Muhusika: Imaam Muhammad bin Ismaa´iyl al-Bukhaariy (a.f.k 256)
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Birr-ul-Waalidayn, uk. 125-126
Imechapishwa: 13/01/2025
https://firqatunnajia.com/19-rehema-haiwashukii-watu-ambao-miongoni-mwao-kuna-anayekata-kizazi/