Ni njama za kiyahudi. Kwa kuwa msingi wa madhehebu ya Jahmiyyah yamechukuliwa kutoka kwa mayahudi. Hivyo ndivyo alivyosema Shaykh-ul-Islaam (Rahimahu Allaah) katika kitabu chake “al-Hamawiyyah”[1]. Amesema kuwa yamechukuliwa kutoka kwa mayahudi. Hili sio jambo la ajabu au geni kwa mayahudi Allaah awalaani. Wameyapotosha maneno ya Allaah, wakayabadili na kuyageuza. Hizi ni kampeni za mayahudi ili waibatilishe Qur-aan ilio kwenye mikono ya waislamu. Hii ni ´Aqiydah chafu. Kwa ajili hii ndio maana maimamu wakasimama kidete kuiraddi na kuibatilisha na kubainisha kuwa ni kampeni zilizopenyezwa.
[1] Tazama “al-Hamawiyyah al-Kubraa”, uk. 232-235
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh al-Mandhuumat-ul-Haaiyyah fiy ´Aqiydati Ahl-is-Sunnah wal-Jamaa´ah, uk. 70
- Imechapishwa: 31/12/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)