17- Tambua kuwa maisha yako ni yenye kufuata fikira zako. Ikiwa fikira zako ni katika yale ambayo manufaa yake yanakurejea wewe, katika dini na dunia yako, basi maisha yako yatakuwa mazuri na yenye furaha. Vinginevyo jambo litakuwa kinyume na hivo.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdur-Rahmaan bin Naaswir as-Sa´diy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Wasaa-il-ul-Mufiydah lil-Hayaat-is-Sa´iydah, uk. 29
- Imechapishwa: 29/06/2020
17- Tambua kuwa maisha yako ni yenye kufuata fikira zako. Ikiwa fikira zako ni katika yale ambayo manufaa yake yanakurejea wewe, katika dini na dunia yako, basi maisha yako yatakuwa mazuri na yenye furaha. Vinginevyo jambo litakuwa kinyume na hivo.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdur-Rahmaan bin Naaswir as-Sa´diy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Wasaa-il-ul-Mufiydah lil-Hayaat-is-Sa´iydah, uk. 29
Imechapishwa: 29/06/2020
https://firqatunnajia.com/18-sababu-ya-kumi-na-saba-ya-maisha-mazuri-maisha-yako-yanategemea-fikira-zako/