16- Miongoni mwa mambo yenye manufaa ni kwamba unatakiwa utambue kuwa maudhi ya watu juu yako na khaswa katika kuzungumza maneno mabaya hayakudhuru wewe na bali yanawadhuru wao. Isipokuwa pale ambapo utaishughulisha nafsi yako kuyatilia umuhimu na ukaiwezesha kumiliki zile hisia zako. Katika hali hiyo ndipo zitakudhuru wewe kama zilivyowadhuru wao. Lakini maadamu wewe hutoyapa umuhimu basi hayatokudhuru chochote.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdur-Rahmaan bin Naaswir as-Sa´diy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Wasaa-il-ul-Mufiydah lil-Hayaat-is-Sa´iydah, uk. 29
- Imechapishwa: 29/06/2020
16- Miongoni mwa mambo yenye manufaa ni kwamba unatakiwa utambue kuwa maudhi ya watu juu yako na khaswa katika kuzungumza maneno mabaya hayakudhuru wewe na bali yanawadhuru wao. Isipokuwa pale ambapo utaishughulisha nafsi yako kuyatilia umuhimu na ukaiwezesha kumiliki zile hisia zako. Katika hali hiyo ndipo zitakudhuru wewe kama zilivyowadhuru wao. Lakini maadamu wewe hutoyapa umuhimu basi hayatokudhuru chochote.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdur-Rahmaan bin Naaswir as-Sa´diy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Wasaa-il-ul-Mufiydah lil-Hayaat-is-Sa´iydah, uk. 29
Imechapishwa: 29/06/2020
https://firqatunnajia.com/17-sababu-ya-kumi-na-sita-ya-maisha-mazuri-maneno-ya-watu-dhidi-yako-hayakudhuru-chochote-bali-yanawadhuru-wao/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)