17- Tambua kuwa maisha yako ni yenye kufuata fikira zako. Ikiwa fikira zako ni katika yale ambayo manufaa yake yanakurejea wewe, katika dini na dunia yako, basi maisha yako yatakuwa mazuri na yenye furaha. Vinginevyo jambo litakuwa kinyume na hivo.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdur-Rahmaan bin Naaswir as-Sa´diy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Wasaa-il-ul-Mufiydah lil-Hayaat-is-Sa´iydah, uk. 29
- Imechapishwa: 29/06/2020
17- Tambua kuwa maisha yako ni yenye kufuata fikira zako. Ikiwa fikira zako ni katika yale ambayo manufaa yake yanakurejea wewe, katika dini na dunia yako, basi maisha yako yatakuwa mazuri na yenye furaha. Vinginevyo jambo litakuwa kinyume na hivo.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdur-Rahmaan bin Naaswir as-Sa´diy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Wasaa-il-ul-Mufiydah lil-Hayaat-is-Sa´iydah, uk. 29
Imechapishwa: 29/06/2020
https://firqatunnajia.com/18-sababu-ya-kumi-na-saba-ya-maisha-mazuri-maisha-yako-yanategemea-fikira-zako/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)