33 – Qays bin Hafsw ametuhadithia: ´Abdul-Waahid ametuhadithia: al-Hasan bin ´Amr al-Fuqaymiy ametuhadithia: Mujaahid ametuhadithia: Nimemsikia ´Abdullaah bin ´Amr akisema: Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Anayeunga sio mwenye kulipiza wema. Lakini muungaji ni yule ambaye, wakati kizazi kinapokatwa basi yeye anakiunga.”
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Ismaa´iyl al-Bukhaariy (a.f.k 256)
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Birr-ul-Waalidayn, uk. 130
- Imechapishwa: 08/01/2025
33 – Qays bin Hafsw ametuhadithia: ´Abdul-Waahid ametuhadithia: al-Hasan bin ´Amr al-Fuqaymiy ametuhadithia: Mujaahid ametuhadithia: Nimemsikia ´Abdullaah bin ´Amr akisema: Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Anayeunga sio mwenye kulipiza wema. Lakini muungaji ni yule ambaye, wakati kizazi kinapokatwa basi yeye anakiunga.”
Muhusika: Imaam Muhammad bin Ismaa´iyl al-Bukhaariy (a.f.k 256)
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Birr-ul-Waalidayn, uk. 130
Imechapishwa: 08/01/2025
https://firqatunnajia.com/17-huyu-ndiye-anayeunga-kizazi/