33 – Qays bin Hafsw ametuhadithia: ´Abdul-Waahid ametuhadithia: al-Hasan bin ´Amr al-Fuqaymiy ametuhadithia: Mujaahid ametuhadithia: Nimemsikia ´Abdullaah bin ´Amr akisema: Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Anayeunga sio mwenye kulipiza wema. Lakini muungaji ni yule ambaye, wakati kizazi kinapokatwa basi yeye anakiunga.”
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Ismaa´iyl al-Bukhaariy (a.f.k 256)
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Birr-ul-Waalidayn, uk. 130
- Imechapishwa: 08/01/2025
33 – Qays bin Hafsw ametuhadithia: ´Abdul-Waahid ametuhadithia: al-Hasan bin ´Amr al-Fuqaymiy ametuhadithia: Mujaahid ametuhadithia: Nimemsikia ´Abdullaah bin ´Amr akisema: Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Anayeunga sio mwenye kulipiza wema. Lakini muungaji ni yule ambaye, wakati kizazi kinapokatwa basi yeye anakiunga.”
Mhusika: Imaam Muhammad bin Ismaa´iyl al-Bukhaariy (a.f.k 256)
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Birr-ul-Waalidayn, uk. 130
Imechapishwa: 08/01/2025
https://firqatunnajia.com/17-huyu-ndiye-anayeunga-kizazi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)