296 – ´Abdullaah bin Mas´uud (Radhiya Allaahu ´anh) amesimulia kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallaam) amesema:
سيكون في آخر الزمان قومٌ يكون حديثهم في مساجدهم، ليس لله فيهم حاجة
“Katika zama za mwisho watakuwepo watu ambao mazungumzo yao watafanya kwenye misikiti yao. Allaah hana haja na watu hao.”[1]
Ameipokea Ibn Hibbaan katika “as-Swahiyh” yake.
[1] Nzuri.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/238)
- Imechapishwa: 16/11/2022
296 – ´Abdullaah bin Mas´uud (Radhiya Allaahu ´anh) amesimulia kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallaam) amesema:
سيكون في آخر الزمان قومٌ يكون حديثهم في مساجدهم، ليس لله فيهم حاجة
“Katika zama za mwisho watakuwepo watu ambao mazungumzo yao watafanya kwenye misikiti yao. Allaah hana haja na watu hao.”[1]
Ameipokea Ibn Hibbaan katika “as-Swahiyh” yake.
[1] Nzuri.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/238)
Imechapishwa: 16/11/2022
https://firqatunnajia.com/17-hadiyth-katika-zama-za-mwisho-watakuwepo-watu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)