2 – Uombezi wenye kuthibitishwa. Ni ule ambao unaombwa kutoka kwa Allaah. Uombezi huu ni wa haki.
Mfano wa uombezi wenye kuthibitishwa ni pale ambapo mja anamuomba Allaah amfanye Mtume Wake kumuombea na wakati huohuo mwombewaji akawa ni miongoni mwa wapwekeshaji. Uhakika wake ni kwamba mwombeaji amekirimiwa uombezi. Kwa hivyo Allaah anamkirimu mwombeaji kwa kumpa idhini. Vinginevyo fadhilah inarudi kwa Allaah (Subhaanah).
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh al-Qawaa´id al-Arba´ah, uk. 139
- Imechapishwa: 06/03/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)