Kuna wanaosema haifai kumhukumu mtu ukafiri wala ushirikina – pasi na kujali chochote kile atakachofanya au atakachosema – mpaka yajulikane yale yaliyomo ndani ya moyo wake. Ametakasika Allaah! Sisi tunajua yale yaliyomo kwenye mioyo au ni Allaah ndiye anayejua yaliyomo ndani ya moyo? Sisi tunahukumu yale tunayoyaona kwa nje. Kuhusu yaliyoko ndani hakuna ayajuaye isipokuwa Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala) pekee. Mwenye kufanya shirki anahukumiwa kuwa ni mshirikina na atatangamiwa kama mshirikina mpaka pale atapotubu kwa Allaah (Ta´ala) na kushikamana na ´Aqiydah ya Tawhiyd. Kadhalika yule mwenye kuitendea kazi Tawhiyd na kutamka shahaadah atatangamiwa kama muislamu midhali hakujadhihiri kutoka kwake yale yanayotengua hilo. Tunatangamana na kila mmoja kutegemea na yale yanayodhihiri kutoka kwake.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 26
- Imechapishwa: 15/10/2016
Kuna wanaosema haifai kumhukumu mtu ukafiri wala ushirikina – pasi na kujali chochote kile atakachofanya au atakachosema – mpaka yajulikane yale yaliyomo ndani ya moyo wake. Ametakasika Allaah! Sisi tunajua yale yaliyomo kwenye mioyo au ni Allaah ndiye anayejua yaliyomo ndani ya moyo? Sisi tunahukumu yale tunayoyaona kwa nje. Kuhusu yaliyoko ndani hakuna ayajuaye isipokuwa Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala) pekee. Mwenye kufanya shirki anahukumiwa kuwa ni mshirikina na atatangamiwa kama mshirikina mpaka pale atapotubu kwa Allaah (Ta´ala) na kushikamana na ´Aqiydah ya Tawhiyd. Kadhalika yule mwenye kuitendea kazi Tawhiyd na kutamka shahaadah atatangamiwa kama muislamu midhali hakujadhihiri kutoka kwake yale yanayotengua hilo. Tunatangamana na kila mmoja kutegemea na yale yanayodhihiri kutoka kwake.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 26
Imechapishwa: 15/10/2016
https://firqatunnajia.com/15-tunamhukumu-mtu-kutegemea-na-yale-yanayodhihiri-kwake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)