4 – Kunusa uvumba hali ya kujua na kukusudia kunamfunguza mfungaji. Haya ndio maoni ya wanazuoni wengi. Kwa sababu uvumba una athari kwenye ubongo. Lakini ukiingia puani mwake au akanusa bila kukusudia, hakumfunguzi mfungaji kwa sababu ya kutokutaka kwake mwenyewe. Amesema (Ta´ala):
لَا يُكَلِّفُ اللَّـهُ نَفْسًا إِلَّا وُسْعَهَا
“Allaah hakalifishi nafsi yoyote isipokuwa kwa kadiri ya uwezo wake.”[1]
[1] 02:286
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Duruus fiy Ramadhwaan, uk. 36
- Imechapishwa: 18/04/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)