45 – ´Abdullaah bin Abiy Ja´far ar-Raaziy
193 – Swaalih bin adh-Dhwurays amesimulia:
”´Abdullaah alimpiga ndugu yake kichwani, ambaye alikuwa na ´Aqiydah ya Jahm. Nilimuona akimpiga kwa kiatu chake kichwani mwake na akisema: ”Hapana, mpaka useme:
الرَّحْمَـٰنُ عَلَى الْعَرْشِ اسْتَوَىٰ
”Mwingi wa rehema amelingana juu ya ´Arshi.”[1]
Kwa maana ya Yeye kuwa mbali na viumbe Wake.”[2]
[1] 20:05
[2] Mtunzi ameitaja kupitia kwa Muhammad bin Yahyaa adh-Dhuhliy: Swaalih bin adh-Dhwurays amenikhabarisha… Cheni yake ya wapokezi ni nzuri. Ibn Abiy Haatim amemtaja huyu Swaalih na akasema:
“Muhammad bin Ayyuub amesimulia kutoka kwake.” (al-Jarh wat-Ta´diyl (2/1/406-407))
Hakutaja juu yake ukosoaji wala kumsifu. adh-Dhuhliy pia amepokea kutoka kwake, kama ilivyo katika ilivyotangulia katika masimulizi haya.
- Muhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-´Uluww lil-´Aliy al-Ghaffaar, uk. 161
- Imechapishwa: 12/01/2025
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
45 – ´Abdullaah bin Abiy Ja´far ar-Raaziy
193 – Swaalih bin adh-Dhwurays amesimulia:
”´Abdullaah alimpiga ndugu yake kichwani, ambaye alikuwa na ´Aqiydah ya Jahm. Nilimuona akimpiga kwa kiatu chake kichwani mwake na akisema: ”Hapana, mpaka useme:
الرَّحْمَـٰنُ عَلَى الْعَرْشِ اسْتَوَىٰ
”Mwingi wa rehema amelingana juu ya ´Arshi.”[1]
Kwa maana ya Yeye kuwa mbali na viumbe Wake.”[2]
[1] 20:05
[2] Mtunzi ameitaja kupitia kwa Muhammad bin Yahyaa adh-Dhuhliy: Swaalih bin adh-Dhwurays amenikhabarisha… Cheni yake ya wapokezi ni nzuri. Ibn Abiy Haatim amemtaja huyu Swaalih na akasema:
“Muhammad bin Ayyuub amesimulia kutoka kwake.” (al-Jarh wat-Ta´diyl (2/1/406-407))
Hakutaja juu yake ukosoaji wala kumsifu. adh-Dhuhliy pia amepokea kutoka kwake, kama ilivyo katika ilivyotangulia katika masimulizi haya.
Muhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-´Uluww lil-´Aliy al-Ghaffaar, uk. 161
Imechapishwa: 12/01/2025
Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/143-kiatu-na-ndugu/