10 – Kutoshibishwa na zile hisia za kimaumbile kutoka kwa wanandoa wote wawili au mmoja wao
Hili ni jambo linalotokea. Ni matatizo mangapi yanatokea katika mahakama zetu zikiwa katika hali hii ambapo mwanamke anaomba haki yake miongoni mwa haki zake za kitandani, kwa sababu pengine mume hawezi kumtimizia matakwa yake. Zipo talaka nyingi zinazotokea kwa hali kama hizi.
- Muhusika: Shaykh Jamaal bin Furahyaan al-Haarithiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Twalaaq – asbaabuhu wa ´ilaajuh, uk. 29
- Imechapishwa: 07/04/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)