10 – Kutoshibishwa na zile hisia za kimaumbile kutoka kwa wanandoa wote wawili au mmoja wao
Hili ni jambo linalotokea. Ni matatizo mangapi yanatokea katika mahakama zetu zikiwa katika hali hii ambapo mwanamke anaomba haki yake miongoni mwa haki zake za kitandani, kwa sababu pengine mume hawezi kumtimizia matakwa yake. Zipo talaka nyingi zinazotokea kwa hali kama hizi.
- Muhusika: Shaykh Jamaal bin Furahyaan al-Haarithiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Twalaaq – asbaabuhu wa ´ilaajuh, uk. 29
- Imechapishwa: 07/04/2024
10 – Kutoshibishwa na zile hisia za kimaumbile kutoka kwa wanandoa wote wawili au mmoja wao
Hili ni jambo linalotokea. Ni matatizo mangapi yanatokea katika mahakama zetu zikiwa katika hali hii ambapo mwanamke anaomba haki yake miongoni mwa haki zake za kitandani, kwa sababu pengine mume hawezi kumtimizia matakwa yake. Zipo talaka nyingi zinazotokea kwa hali kama hizi.
Muhusika: Shaykh Jamaal bin Furahyaan al-Haarithiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Twalaaq – asbaabuhu wa ´ilaajuh, uk. 29
Imechapishwa: 07/04/2024
https://firqatunnajia.com/14-sababu-ya-kumi-ya-talaka-ambayo-ni-kutoshibishwa-zile-hisia/