37 – Sa´iyd bin ´Aamir adh-Dhwuba´iy (122-208), mwanachuoni wa Baswrah.
183 – ´Abdur-Rahmaan bin Abiy Haatim amesema: Baba yangu amenihadithia: Nimehadithia kutoka kwa Sa´iyd bin ´Aamir adh-Dhwuba´iy, ambaye alisema wakati walipotajwa Jahmiyyah:
”´Aqiydah ni mbaya zaidi kuliko ya mayahudi na manaswara. Mayahudi, manaswara na watu wa dini zingine wamekubaliana na waislamu ya kwamba Allaah (´Azza wa Jall) amelingana juu ya ´Arshi, lakini wao wanasema ya kwamba juu ya ´Arshi hakuna chochote.”
- Mhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-´Uluww lil-´Aliy al-Ghaffaar, uk. 158
- Imechapishwa: 07/01/2025
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
37 – Sa´iyd bin ´Aamir adh-Dhwuba´iy (122-208), mwanachuoni wa Baswrah.
183 – ´Abdur-Rahmaan bin Abiy Haatim amesema: Baba yangu amenihadithia: Nimehadithia kutoka kwa Sa´iyd bin ´Aamir adh-Dhwuba´iy, ambaye alisema wakati walipotajwa Jahmiyyah:
”´Aqiydah ni mbaya zaidi kuliko ya mayahudi na manaswara. Mayahudi, manaswara na watu wa dini zingine wamekubaliana na waislamu ya kwamba Allaah (´Azza wa Jall) amelingana juu ya ´Arshi, lakini wao wanasema ya kwamba juu ya ´Arshi hakuna chochote.”
Mhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-´Uluww lil-´Aliy al-Ghaffaar, uk. 158
Imechapishwa: 07/01/2025
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/138-aqiydah-ambayo-waislamu-mayahudi-na-manaswara-wamekubaliana-juu-yake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)