Adabu desturi:
1 – Jaabir bin ´Abdillaah (Radhiya Allaahu ´anh) amesimulia kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Msisalimie salamu ya mayahudi. Salamu yao ni kwa kichwa, mkono na ishara.”[1]
[1] Haafidhw Ibn Hajar amesema:
”Ameipokea an-Nasaa´iy kwa cheni ya wapokezi nzuri.”
Huenda iko katika ”as-Sunan al-Kubraa” au katika ”´Amal-ul-Yawm wal-Laylah”. Kisha nikachapisha hii kwa nambari 430. Ndani yake Abuz-Zubayr hakutaja amesikia kutoka kwa nani. Tazama ”as-Swahiyhah” (1783). al-Haythamiy ametaja Hadiyth mfano wake kisha akasema:
”Ameipokea Abu Ya´laa na at-Twabaraaniy katika ”al-Mu´jam al-Awsatw”. Wanaume wa Abu Ya´laa ni wenye kuaminika.” (Majma´-uz-Zawaa’id (8/38))
Inatiliwa nguvu na Hadiyth aliyopokea at-Tirmidhiy kupitia kwa Ibn Lahiy´ah, kutoka kwa ´Amr bin Shu´ayb, kutoka kwa baba yake, kutoka kwa baba yake ambaye amesimulia kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Si katika sisi yule mwenye kujifananisha na wasiokuwa sisi. Msijifananishe na mayahudi wala manaswara. Mayahudi wanasalimia kwa kuashiria kwa vidole, manaswara wanasalimia kwa kuashiria kwa mkono.”
at-Tirmidhiy amesema:
”Cheni yake ya wapokezi ni dhaifu.” (3/386)
Ibn Lahiy´ah amedhoofishwa kutokana na kumbukumbu yake. Hata hivyo Hadiyth yake inatiliwa nguvu na Hadiyth ya kabla yake. Tazama Hadiyth inayofuata.
- Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Jilbaab-ul-Mar-ah al-Muslimah, uk. 193
- Imechapishwa: 20/11/2023
Adabu desturi:
1 – Jaabir bin ´Abdillaah (Radhiya Allaahu ´anh) amesimulia kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Msisalimie salamu ya mayahudi. Salamu yao ni kwa kichwa, mkono na ishara.”[1]
[1] Haafidhw Ibn Hajar amesema:
”Ameipokea an-Nasaa´iy kwa cheni ya wapokezi nzuri.”
Huenda iko katika ”as-Sunan al-Kubraa” au katika ”´Amal-ul-Yawm wal-Laylah”. Kisha nikachapisha hii kwa nambari 430. Ndani yake Abuz-Zubayr hakutaja amesikia kutoka kwa nani. Tazama ”as-Swahiyhah” (1783). al-Haythamiy ametaja Hadiyth mfano wake kisha akasema:
”Ameipokea Abu Ya´laa na at-Twabaraaniy katika ”al-Mu´jam al-Awsatw”. Wanaume wa Abu Ya´laa ni wenye kuaminika.” (Majma´-uz-Zawaa’id (8/38))
Inatiliwa nguvu na Hadiyth aliyopokea at-Tirmidhiy kupitia kwa Ibn Lahiy´ah, kutoka kwa ´Amr bin Shu´ayb, kutoka kwa baba yake, kutoka kwa baba yake ambaye amesimulia kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Si katika sisi yule mwenye kujifananisha na wasiokuwa sisi. Msijifananishe na mayahudi wala manaswara. Mayahudi wanasalimia kwa kuashiria kwa vidole, manaswara wanasalimia kwa kuashiria kwa mkono.”
at-Tirmidhiy amesema:
”Cheni yake ya wapokezi ni dhaifu.” (3/386)
Ibn Lahiy´ah amedhoofishwa kutokana na kumbukumbu yake. Hata hivyo Hadiyth yake inatiliwa nguvu na Hadiyth ya kabla yake. Tazama Hadiyth inayofuata.
Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Jilbaab-ul-Mar-ah al-Muslimah, uk. 193
Imechapishwa: 20/11/2023
https://firqatunnajia.com/137-waislamu-hawasalimiani-namna-hii/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)