3 – Laylaa, mke wa Bashiyr bin al-Khaswaaswiyyah (Radhiya Allaahu ´anhum), amesema:
”Nilitaka kufunga siku mbili kwa kuunganisha ambapo Bashiyr akanikataza na kusema: ”Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alinikataza jambo hilo na akasema: ”Manaswara ndio wanaofanya hivo. Fungeni kama alivyokuamrisheni Allaah, kamilisheni swawm kama alivyokuamrisheni Allaah na kamilisheni swawm mpaka usiku. Utapofika usiku basi fungueni.”[1]
[1] Ahmad na Sa´iyd bin Mansuur kupitia kwa ´Ubaydullaah bin Iyaad, kutoka kwa baba yake. Cheni yake ya wapokezi ni Swahiyh. Laylaa ni Swahabah wa kike, kama ilivyotajwa katika ”at-Taqriyb” na katika vitabu vingine. Haafidhw Ibn Hajar ameinasibisha Hadiyth hiyo kwa at-Twabaraaniy, ´Abd bin Humayd na Ibn Abiy Haatim kwa cheni ya wapokezi Swahiyh kwenda mpaka kwa Laylaa.
Shaykh-ul-Islaam Ibn Taymiyyah (Rahimahu Allaah) amesema:
”Ametoa sababu ya makatazo ya kuunganisha swawm kwamba ni swawm ya manaswara. Mambo ni kama alivosema Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Pengine inatokana na utawa wao waliouzua.”
- Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Jilbaab-ul-Mar-ah al-Muslimah, uk. 176-177
- Imechapishwa: 07/11/2023
3 – Laylaa, mke wa Bashiyr bin al-Khaswaaswiyyah (Radhiya Allaahu ´anhum), amesema:
”Nilitaka kufunga siku mbili kwa kuunganisha ambapo Bashiyr akanikataza na kusema: ”Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alinikataza jambo hilo na akasema: ”Manaswara ndio wanaofanya hivo. Fungeni kama alivyokuamrisheni Allaah, kamilisheni swawm kama alivyokuamrisheni Allaah na kamilisheni swawm mpaka usiku. Utapofika usiku basi fungueni.”[1]
[1] Ahmad na Sa´iyd bin Mansuur kupitia kwa ´Ubaydullaah bin Iyaad, kutoka kwa baba yake. Cheni yake ya wapokezi ni Swahiyh. Laylaa ni Swahabah wa kike, kama ilivyotajwa katika ”at-Taqriyb” na katika vitabu vingine. Haafidhw Ibn Hajar ameinasibisha Hadiyth hiyo kwa at-Twabaraaniy, ´Abd bin Humayd na Ibn Abiy Haatim kwa cheni ya wapokezi Swahiyh kwenda mpaka kwa Laylaa.
Shaykh-ul-Islaam Ibn Taymiyyah (Rahimahu Allaah) amesema:
”Ametoa sababu ya makatazo ya kuunganisha swawm kwamba ni swawm ya manaswara. Mambo ni kama alivosema Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Pengine inatokana na utawa wao waliouzua.”
Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Jilbaab-ul-Mar-ah al-Muslimah, uk. 176-177
Imechapishwa: 07/11/2023
https://firqatunnajia.com/121-waislamu-hawafungi-hivo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)