12 – ´Abdur-Rahmaan bin Waaqid al-´Attwaar ametuhadithia: Hushaym ametuhadithia: al-´Awwaam bin Hawshab ametuhadithia: Bwana mmoja kutoka Banuu Asad amenihadithia, kutoka kwa ´Abdur-Rahmaan bin ´Amr, ambaye amesema:
من صلى على النبي صلى الله عليه وسلم كتب [الله] له عشر حسنات، ومحا عنه عشر سيئات، ورفع له عشر درجات
”Yule mwenye kumswalia Mtume, basi Allaah atamwandikia mema kumi, atamfutia makosa kumi na atamnyanyua ngazi kumi.”[1]
[1] Cheni ya wapokezi wake ni dhaifu. Hata hivyo inatiliwa nguvu kupitia kwa Anas, kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Hadiyth hiyo ameipokea an-Nasaa´iy na wengineo kwa cheni ya wapokezi Swahiyh.
- Mhusika: Imaam Ismaa´iyl bin Ishaaq al-Maalikiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fadhwl-us-Swalaah ´alaan-Nabiy, uk. 30
- Imechapishwa: 02/01/2024
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
12 – ´Abdur-Rahmaan bin Waaqid al-´Attwaar ametuhadithia: Hushaym ametuhadithia: al-´Awwaam bin Hawshab ametuhadithia: Bwana mmoja kutoka Banuu Asad amenihadithia, kutoka kwa ´Abdur-Rahmaan bin ´Amr, ambaye amesema:
من صلى على النبي صلى الله عليه وسلم كتب [الله] له عشر حسنات، ومحا عنه عشر سيئات، ورفع له عشر درجات
”Yule mwenye kumswalia Mtume, basi Allaah atamwandikia mema kumi, atamfutia makosa kumi na atamnyanyua ngazi kumi.”[1]
[1] Cheni ya wapokezi wake ni dhaifu. Hata hivyo inatiliwa nguvu kupitia kwa Anas, kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Hadiyth hiyo ameipokea an-Nasaa´iy na wengineo kwa cheni ya wapokezi Swahiyh.
Mhusika: Imaam Ismaa´iyl bin Ishaaq al-Maalikiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fadhwl-us-Swalaah ´alaan-Nabiy, uk. 30
Imechapishwa: 02/01/2024
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/12-hadiyth-yule-mwenye-kumswalia-mtume/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)