11- Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Matendo yanazingatia nia[1] na kila mmoja atalipwa kwa kile alichonuia.”[2]
[1] an-Nawawiy amesema:
“Nia ni kusudio. Mswaliji anatakiwa kufikiria kuwa anataka kuswali swalah fulani pamoja na kujiweka tayari na zile sifa inayohusika nazo kama inahusiana na Dhuhr, swala ya faradhi na kadhalika.” (Rawdhat-ut-Twaalibiyn (17224))
[2] al-Bukhaariy, Muslim na wengine. Imetajwa katika ”al-Irwaa’” (22).
- Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swifatu Swalaat-in-Nabiy, uk. 75
- Imechapishwa: 13/10/2016
11- Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Matendo yanazingatia nia[1] na kila mmoja atalipwa kwa kile alichonuia.”[2]
[1] an-Nawawiy amesema:
“Nia ni kusudio. Mswaliji anatakiwa kufikiria kuwa anataka kuswali swalah fulani pamoja na kujiweka tayari na zile sifa inayohusika nazo kama inahusiana na Dhuhr, swala ya faradhi na kadhalika.” (Rawdhat-ut-Twaalibiyn (17224))
[2] al-Bukhaariy, Muslim na wengine. Imetajwa katika ”al-Irwaa’” (22).
Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swifatu Swalaat-in-Nabiy, uk. 75
Imechapishwa: 13/10/2016
https://firqatunnajia.com/11-kuweka-nia/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)