10- Alikuwa (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akikataza kuswali kwa kulielekea kaburi akisema:

“Msiswali kwa kuyaelekea makaburi na wala msikae juu yake.”[1]

[1] Muslim, Abuu Daawuud na Ibn Khuzaymah (2/95/1). Tazama vitabu vyangu ”Tahdhiyr-us-Saajid min Ittikhaadh-il-Qubuur al-Masaajid” na ”Ahkaam-ul-Janaa-iz wa Bid´auha”.

  • Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Swifatu Swalaat-in-Nabiy, uk. 74
  • Imechapishwa: 13/10/2016