Anatakiwa kutoka hali ya kutembea na si kupanda kipando. Isipokuwa kama ana udhuru wa kushindwa au umbali. ´Aliy bin Abiy Twaalib (Radhiya Allaahu ´anh) amesimulia:
“Miongoni mwa Sunnah ni kutoka kwenda katika ´iyd hali ya kutembea.”
Ameipokea at-Tirmidhiy ambaye amesema:
“Hadiyth ni nzuri[1].”
[1] Ndani yake yumo al-Haarith al-A´war na wanazuoni wengi wamemdhoofisha ingawa wengine wameonelea kuwa ni mwenye kuaminika.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majaalis Shahr Ramadhwaan, uk. 225
- Imechapishwa: 29/03/2024
Anatakiwa kutoka hali ya kutembea na si kupanda kipando. Isipokuwa kama ana udhuru wa kushindwa au umbali. ´Aliy bin Abiy Twaalib (Radhiya Allaahu ´anh) amesimulia:
“Miongoni mwa Sunnah ni kutoka kwenda katika ´iyd hali ya kutembea.”
Ameipokea at-Tirmidhiy ambaye amesema:
“Hadiyth ni nzuri[1].”
[1] Ndani yake yumo al-Haarith al-A´war na wanazuoni wengi wamemdhoofisha ingawa wengine wameonelea kuwa ni mwenye kuaminika.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majaalis Shahr Ramadhwaan, uk. 225
Imechapishwa: 29/03/2024
https://firqatunnajia.com/103-wanaume-kujipamba-na-kuvaa-mavazi-mazuri-kabisa-siku-ya-iyd/