Miongoni mwa Sunnah ni watu kabla ya kutoka katika ´Iyd-ul-Fitwr wale tende kwa njia ya witiri; tatu, tano au zaidi ya hivo. Ale kwa njia ya witiri. Anas bin Maalik (Radhiya Allaahu ´anh) amesimulia:
“Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa harauki siku ya [´Iyd] al-Fitwr mpaka ale tende na anazila kwa witiri.”
Ameipokea Ahmad na al-Bukhaariy.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majaalis Shahr Ramadhwaan, uk. 225
- Imechapishwa: 29/03/2024
Miongoni mwa Sunnah ni watu kabla ya kutoka katika ´Iyd-ul-Fitwr wale tende kwa njia ya witiri; tatu, tano au zaidi ya hivo. Ale kwa njia ya witiri. Anas bin Maalik (Radhiya Allaahu ´anh) amesimulia:
“Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa harauki siku ya [´Iyd] al-Fitwr mpaka ale tende na anazila kwa witiri.”
Ameipokea Ahmad na al-Bukhaariy.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majaalis Shahr Ramadhwaan, uk. 225
Imechapishwa: 29/03/2024
https://firqatunnajia.com/102-kula-tende-witiri-kabla-ya-kwenda-kuswali-iyd-ul-fitwr/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)