Swali: Nina rafiki anayesema kuwa Saudi Arabia ni nchi ya kikafiri kwa sababu ina miungano na makafiri.
Jibu: Mwache. Nakwambia mwache. Anayewakufurisha waislamu ni katika mfumo wa Khawaarij. Huu ni mfumo wa Khawaarij. Wanasema kuwa Wahhaabiyyah ni Khawaarij na huyu anasema kuwa Wahhaabiyyah ni makafiri. Tahamaki wao wenyewe sasa wamekuwa ni Khawaarij.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://alfawzan.af.org.sa/node/13518 Tarehe: 1432-11-09/2011-10-06
- Imechapishwa: 29/03/2024
Swali: Nina rafiki anayesema kuwa Saudi Arabia ni nchi ya kikafiri kwa sababu ina miungano na makafiri.
Jibu: Mwache. Nakwambia mwache. Anayewakufurisha waislamu ni katika mfumo wa Khawaarij. Huu ni mfumo wa Khawaarij. Wanasema kuwa Wahhaabiyyah ni Khawaarij na huyu anasema kuwa Wahhaabiyyah ni makafiri. Tahamaki wao wenyewe sasa wamekuwa ni Khawaarij.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://alfawzan.af.org.sa/node/13518 Tarehe: 1432-11-09/2011-10-06
Imechapishwa: 29/03/2024
https://firqatunnajia.com/rafiki-yangu-anasema-kuwa-saudi-arabia-ni-nchi-ya-kikafiri/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)