Swali: Kuna sababu gani vijana wa kisaudi kuashiriwa kidogo zaidi kuliko wengine?
Jibu: Kwa sababu wanatokana na kielelezo cha Kiislamu, nchi yenye misikiti miwili Mitukufu, wanabeba ´Aqiydah sahihi, Tawhiyd, na kwa sababu mara nyingi elimu inachukuliwa kutoka kwao. Kwa ajili hiyo wanaitia mapungufu nchi hii. Lengo ni kutaka kuyafanya mataifa mengine kuidharau nchi hii, jengine ni kutaka kuwakimbiza watu wasichukue elimu kutoka nchi hii.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.sahab.net/forums/index.php?showtopic=162071 Tarehe: 1438-03-07/2016-12-07
- Imechapishwa: 29/03/2024
Swali: Kuna sababu gani vijana wa kisaudi kuashiriwa kidogo zaidi kuliko wengine?
Jibu: Kwa sababu wanatokana na kielelezo cha Kiislamu, nchi yenye misikiti miwili Mitukufu, wanabeba ´Aqiydah sahihi, Tawhiyd, na kwa sababu mara nyingi elimu inachukuliwa kutoka kwao. Kwa ajili hiyo wanaitia mapungufu nchi hii. Lengo ni kutaka kuyafanya mataifa mengine kuidharau nchi hii, jengine ni kutaka kuwakimbiza watu wasichukue elimu kutoka nchi hii.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.sahab.net/forums/index.php?showtopic=162071 Tarehe: 1438-03-07/2016-12-07
Imechapishwa: 29/03/2024
https://firqatunnajia.com/ndio-maana-inadharauliwa-saudi-arabia/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)