Swali 10: Ni lini vilikuwa vita vya Fijaar?

Jibu: Vita vya Fijaar vilitokea akiwa (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na umri wa miaka kumi na nne au kumi na tano. Alikuwa anawaokotea mishale  ami zake.

  • Mhusika: ´Allaamah Haafidhw bin Ahmad al-Hakamiy
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Amaaliy fiys-Siyrah an-Nabawiyyah, uk. 93
  • Imechapishwa: 06/09/2023