Swali 07: Je, inafaa kumbusu maiti[1]?
Jibu: Hapana neno kumbusu maiti akishumiwa na mmoja katika Mahaarim zake katika wanawake au wanamme. Hivo ndivo alivofanya Abu Bakr as-Swiddiyq (Radhiya Allaahu ´anh) kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/101-102).
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 14
- Imechapishwa: 11/12/2021
Swali 07: Je, inafaa kumbusu maiti[1]?
Jibu: Hapana neno kumbusu maiti akishumiwa na mmoja katika Mahaarim zake katika wanawake au wanamme. Hivo ndivo alivofanya Abu Bakr as-Swiddiyq (Radhiya Allaahu ´anh) kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/101-102).
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 14
Imechapishwa: 11/12/2021
https://firqatunnajia.com/07-je-inafaa-kumbusu-maiti/