Swali 07: Je, inafaa kumbusu maiti[1]?
Jibu: Hapana neno kumbusu maiti akishumiwa na mmoja katika Mahaarim zake katika wanawake au wanamme. Hivo ndivo alivofanya Abu Bakr as-Swiddiyq (Radhiya Allaahu ´anh) kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/101-102).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 14
- Imechapishwa: 11/12/2021
Swali 07: Je, inafaa kumbusu maiti[1]?
Jibu: Hapana neno kumbusu maiti akishumiwa na mmoja katika Mahaarim zake katika wanawake au wanamme. Hivo ndivo alivofanya Abu Bakr as-Swiddiyq (Radhiya Allaahu ´anh) kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/101-102).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 14
Imechapishwa: 11/12/2021
https://firqatunnajia.com/07-je-inafaa-kumbusu-maiti/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)