Swali 08: Je, inafaa kwa mwoshaji kuuliza familia ya maiti kama aliyekufa anaswali au haswali[1]?
Jibu: Midhali ni muislamu na wale waliomleta ni waislamu basi hakuna haja ya kuwauliza. Wako wanaochukulia wepesi jambo hilo na hivyo likapelekea katika fedheha. Vivyo hivyo wakati wa kumswalia. Hivyo haifai kuuliza juu yake ikiwa udhahiri wake ni Uislamu.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/106-107).
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 15
- Imechapishwa: 11/12/2021
Swali 08: Je, inafaa kwa mwoshaji kuuliza familia ya maiti kama aliyekufa anaswali au haswali[1]?
Jibu: Midhali ni muislamu na wale waliomleta ni waislamu basi hakuna haja ya kuwauliza. Wako wanaochukulia wepesi jambo hilo na hivyo likapelekea katika fedheha. Vivyo hivyo wakati wa kumswalia. Hivyo haifai kuuliza juu yake ikiwa udhahiri wake ni Uislamu.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/106-107).
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 15
Imechapishwa: 11/12/2021
https://firqatunnajia.com/08-kuwauliza-familia-ya-maiti-kama-alikuwa-anaswali/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)