Swali: Je, bora kwa imamu ni yeye kubadilishabadilisha idadi ya zile Rak´ah au bora ni kufupika na Rak´ah kumi na moja?
Jibu: Sitambui ubaya wa jambo hilo. Hapana neno iwapo baadhi ya nyusiku ataswali Rak´ah kumi na moja na nyusiku nyenginezo akaswali Rak´ah ishirini na tatu. Ni sawa pia endapo atazidisha. Wigo ni mpana inapokuja katika swalah ya usiku. Lakini ni vizuri akifupika na Rak´ah kumi na moja ili kuithibitisha Sunnah na ili watu waweze kutambua swalah yake wasije wakadhani kuwa amesahau.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Swalaat-it-Taraawiyh, uk. 11
- Imechapishwa: 10/04/2022
Swali: Je, bora kwa imamu ni yeye kubadilishabadilisha idadi ya zile Rak´ah au bora ni kufupika na Rak´ah kumi na moja?
Jibu: Sitambui ubaya wa jambo hilo. Hapana neno iwapo baadhi ya nyusiku ataswali Rak´ah kumi na moja na nyusiku nyenginezo akaswali Rak´ah ishirini na tatu. Ni sawa pia endapo atazidisha. Wigo ni mpana inapokuja katika swalah ya usiku. Lakini ni vizuri akifupika na Rak´ah kumi na moja ili kuithibitisha Sunnah na ili watu waweze kutambua swalah yake wasije wakadhani kuwa amesahau.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Swalaat-it-Taraawiyh, uk. 11
Imechapishwa: 10/04/2022
https://firqatunnajia.com/07-je-bora-kwa-imamu-ni-yeye-kubadilishabadilisha-idadi-ya-zile-rakah-za-tarawiyh/