Abu Ja´far at-Twahaawiy (Rahimahu Allaah) amesema:
13 – Ni Mwenye kusifika milele juu ya sifa Zake kabla ya kuumba Kwake.
14 – Sifa Zake hazikuongezeka kutokana nao.
15 – Kama ambavyo siku zote alikuwa ni mwenye kusifiwa kwa sifa Zake, vivyo hivyo ndivo atavoendelea kuwa milele.
16 – Hakuwa ni Muumbaji baada ya kuumba wala Mwanzilishi viumbe baada ya kuanzisha viumbe.
17 – Alikuwa na sifa ya uungu wakati hapakuwa yeyote wa kuabudu, alikuwa ni Muumbaji wakati hapakuwa kiumbe yeyote[1].
18 – Kama ambavyo anazingatiwa ni Mwenye kuwahuisha wafu na amestahiki jina hili kabla ya kuwapa uhai, kadhalika amestahiki jina la Muumbaji kabla ya kuwaumba.
[1] Ibn Abiyl-´Izz al-Hanafiy amesema:
“Maana yake ni kwamba Allaah (Ta´ala) alikuwa ni Mwenye kusifiwa Mola kabla ya kuwepo wenye kulelewa, Muumba kabla ya kuwepo viumbe.” (Sharh al-´Aqiydah at-Twahaawiyyah, uk. 116)
- Mhusika: ´Allaamah Muhammad bin ´Abdil-´Aziyz bin Maaniy´
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Haashiyah ´alaa al-´Aqiydah at-Twahaawiyyah, uk. 22-23
- Imechapishwa: 11/11/2021
Abu Ja´far at-Twahaawiy (Rahimahu Allaah) amesema:
13 – Ni Mwenye kusifika milele juu ya sifa Zake kabla ya kuumba Kwake.
14 – Sifa Zake hazikuongezeka kutokana nao.
15 – Kama ambavyo siku zote alikuwa ni mwenye kusifiwa kwa sifa Zake, vivyo hivyo ndivo atavoendelea kuwa milele.
16 – Hakuwa ni Muumbaji baada ya kuumba wala Mwanzilishi viumbe baada ya kuanzisha viumbe.
17 – Alikuwa na sifa ya uungu wakati hapakuwa yeyote wa kuabudu, alikuwa ni Muumbaji wakati hapakuwa kiumbe yeyote[1].
18 – Kama ambavyo anazingatiwa ni Mwenye kuwahuisha wafu na amestahiki jina hili kabla ya kuwapa uhai, kadhalika amestahiki jina la Muumbaji kabla ya kuwaumba.
[1] Ibn Abiyl-´Izz al-Hanafiy amesema:
“Maana yake ni kwamba Allaah (Ta´ala) alikuwa ni Mwenye kusifiwa Mola kabla ya kuwepo wenye kulelewa, Muumba kabla ya kuwepo viumbe.” (Sharh al-´Aqiydah at-Twahaawiyyah, uk. 116)
Mhusika: ´Allaamah Muhammad bin ´Abdil-´Aziyz bin Maaniy´
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Haashiyah ´alaa al-´Aqiydah at-Twahaawiyyah, uk. 22-23
Imechapishwa: 11/11/2021
https://firqatunnajia.com/06-sifa-za-allaah-za-milele/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)