Maneno kuhusu kulingania kwa Allaah (´Azza wa Jall) yanafupishwa katika mambo yafuatayo:
1 – Hukumu na fadhilah zake.
2 – Namna ya kuifanya na njia zake.
3 – Kubainisha jambo linalolinganiwa kwalo.
4 – Kubainisha tabia na sifa ambazo walinganizi wanatakiwa kujipamba nazo na kupita juu yake.
Tunasema na msaada ni wenye kuombwa kwa Allaahna Mwenye kuwawafikisha waja Wake (Subhaanahu wa Ta´ala):
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: ad-Da´wah ilaa Allaah wa Akhlaaq-id-Du´aah, uk. 13
- Imechapishwa: 31/05/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)