Miongoni mwa sababu muhimu zaidi za talaka ni zifuatazo:
1 – Udhaifu wa dini
Udhaifu wa msukumo wa dini kwa wanandoa au mmoja wao. Hilo ni kwa njia ya kwamba hahifadhi swalah, hamchi Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala) katika yale anayoyafanya, hatekelezi haki ya Allaah wala haki ya mke wake. Ni mamoja anayefanya hivo akawa ni mwanaume au mwanamke.
- Muhusika: Shaykh Jamaal bin Furahyaan al-Haarithiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Twalaaq – asbaabuhu wa ´ilaajuh, uk. 20
- Imechapishwa: 29/03/2024
Miongoni mwa sababu muhimu zaidi za talaka ni zifuatazo:
1 – Udhaifu wa dini
Udhaifu wa msukumo wa dini kwa wanandoa au mmoja wao. Hilo ni kwa njia ya kwamba hahifadhi swalah, hamchi Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala) katika yale anayoyafanya, hatekelezi haki ya Allaah wala haki ya mke wake. Ni mamoja anayefanya hivo akawa ni mwanaume au mwanamke.
Muhusika: Shaykh Jamaal bin Furahyaan al-Haarithiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Twalaaq – asbaabuhu wa ´ilaajuh, uk. 20
Imechapishwa: 29/03/2024
https://firqatunnajia.com/05-sababu-ya-kwanza-ya-talaka-ambayo-ni-udhaifu-wa-dini/