Miongoni mwa sababu muhimu zaidi za talaka ni zifuatazo:
1 – Udhaifu wa dini
Udhaifu wa msukumo wa dini kwa wanandoa au mmoja wao. Hilo ni kwa njia ya kwamba hahifadhi swalah, hamchi Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala) katika yale anayoyafanya, hatekelezi haki ya Allaah wala haki ya mke wake. Ni mamoja anayefanya hivo akawa ni mwanaume au mwanamke.
- Muhusika: Shaykh Jamaal bin Furahyaan al-Haarithiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Twalaaq – asbaabuhu wa ´ilaajuh, uk. 20
- Imechapishwa: 29/03/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket