Malaika ndio viumbe bora kabisa wa Allaah. Lakini hata hivyo Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah wanaonelea kuwa muumini katika wanaadamu ni bora zaidi kuliko Malaika. Hili ni kwa maafikiano ya Ahl-us-Sunnah. Kwa sababu wao wamewajibishiwa kufanya ´ibaadah na hivyo ni wenye kupewa mtihani wa matamanio. Hivyo wao ni bora kwa njia hii muda wa kuwa wataamini na kunyooka sawasawa.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh al-´Aqiydah al-Waasitwiyyah, uk. 12-13
- Imechapishwa: 16/10/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)