4- Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliulizwa kuhusu swalah juu ya meli. Akasema:
“Swali kwa kusimama isipokuwa ikiwa kama utachelea kuzama.”[1]
Wakati (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alipokuwa mtumzima alikuwa akijisaidia kwa kiguzo katika swalah.[2]
[1] al-Bazzaar (68), ad-Daaraqutwniy na ´Abdul-Ghaniy al-Maqdisiy katika ”as-Sunan” (2/82). Ni Swahiyh kwa mujibu wa al-Haakim na adh-Dhahabiy ameafikiana naye.
Faida:
Hukumu ya kuswali kuswali ndani ya ndege ni kama kuswali kwenye meli. Anayeweza aswali kwa kusimama. Vinginevyo mtu aswali kwa kukaa na kuashiria Rukuu´ na Sujuud.
[2] Abuu Daawuud na al-Haakim ambaye pamoja na adh-Dhahabiy wamesema kuwa ni Swahiyh. Nimeitaja katika ”as-Swahiyhah” (319) na ”al-Irwaa’” (383).
- Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swifatu Swalaat-in-Nabiy, uk. 69
- Imechapishwa: 08/10/2016
4- Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliulizwa kuhusu swalah juu ya meli. Akasema:
“Swali kwa kusimama isipokuwa ikiwa kama utachelea kuzama.”[1]
Wakati (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alipokuwa mtumzima alikuwa akijisaidia kwa kiguzo katika swalah.[2]
[1] al-Bazzaar (68), ad-Daaraqutwniy na ´Abdul-Ghaniy al-Maqdisiy katika ”as-Sunan” (2/82). Ni Swahiyh kwa mujibu wa al-Haakim na adh-Dhahabiy ameafikiana naye.
Faida:
Hukumu ya kuswali kuswali ndani ya ndege ni kama kuswali kwenye meli. Anayeweza aswali kwa kusimama. Vinginevyo mtu aswali kwa kukaa na kuashiria Rukuu´ na Sujuud.
[2] Abuu Daawuud na al-Haakim ambaye pamoja na adh-Dhahabiy wamesema kuwa ni Swahiyh. Nimeitaja katika ”as-Swahiyhah” (319) na ”al-Irwaa’” (383).
Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swifatu Swalaat-in-Nabiy, uk. 69
Imechapishwa: 08/10/2016
https://firqatunnajia.com/04-swalah-juu-ya-meli/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)