2 – Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) amesimulia kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mwanamke akiswali vitano vyake, akafunga mwezi wake, akamtii mume wake na akahifadhi tupu yake, basi ataambiwa [siku ya Qiyaamah]: “Ingia Peponi kwa mlango wowote unaoutaka.”[1]
Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
”Wanawake wenu katika watu wa Peponi: ni wale wenye mapenzi mno, wenye kuzaa sana, wenye kujipendekeza kwa waume zao ambao anapokasirika [yule mume] anakuja na kuweka mkono wake juu ya mkono wa mume wake na kusema: “Mimi leo sionji usingizi mpaka uridhie.“[2]
[1] Ibn Hibbaan katika ”as-Swahiyh” yake (06/184 – Ihsaan) na wengineo. al-Albaaniy ameisahihisha kutokana na nyinginezo zinazoitolea ushahidi katika “Aadab-uz-Ziffaaf”, uk. 286.
[2] Silsilah Ahaadiyth-is-Swahiyhah, uk. 287.
- Mhusika: Shaykh Muhammad Shuwmaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swifaat-uz-Zawjah as-Swaalihah, uk. 12-14
- Imechapishwa: 19/09/2022
2 – Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) amesimulia kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mwanamke akiswali vitano vyake, akafunga mwezi wake, akamtii mume wake na akahifadhi tupu yake, basi ataambiwa [siku ya Qiyaamah]: “Ingia Peponi kwa mlango wowote unaoutaka.”[1]
Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
”Wanawake wenu katika watu wa Peponi: ni wale wenye mapenzi mno, wenye kuzaa sana, wenye kujipendekeza kwa waume zao ambao anapokasirika [yule mume] anakuja na kuweka mkono wake juu ya mkono wa mume wake na kusema: “Mimi leo sionji usingizi mpaka uridhie.“[2]
[1] Ibn Hibbaan katika ”as-Swahiyh” yake (06/184 – Ihsaan) na wengineo. al-Albaaniy ameisahihisha kutokana na nyinginezo zinazoitolea ushahidi katika “Aadab-uz-Ziffaaf”, uk. 286.
[2] Silsilah Ahaadiyth-is-Swahiyhah, uk. 287.
Mhusika: Shaykh Muhammad Shuwmaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swifaat-uz-Zawjah as-Swaalihah, uk. 12-14
Imechapishwa: 19/09/2022
https://firqatunnajia.com/04-mahimizo-ya-kumtii-mume-na-kumfurahisha/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)