Swali 03: Ni ipi hukumu ya kuvua soksi wakati wa kila wudhuu´ kwa ajili ya usalama zaidi?
Jibu: Kitendo hicho kinaenda kinyume na Sunnah na kinafanana na matendo ya Raafidhwah ambao hawajuzishi kupangusa juu ya soksi za ngozi. Wakati ambapo al-Mughiyrah (Radhiya Allaahu ´anh) alitaka kuvua soksi za ngozi za Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alisema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Ziache. Nilizivaa nikiwa katika hali ya twahara” na hivyo akapangusa juu yake.”
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Buhuuth wa Fataawaa fiyl-Mas´h ´alaal-Khuffayn, katika Majmuu´-ul-Fataawaa (11/158-159)
- Imechapishwa: 27/04/2021
Swali 03: Ni ipi hukumu ya kuvua soksi wakati wa kila wudhuu´ kwa ajili ya usalama zaidi?
Jibu: Kitendo hicho kinaenda kinyume na Sunnah na kinafanana na matendo ya Raafidhwah ambao hawajuzishi kupangusa juu ya soksi za ngozi. Wakati ambapo al-Mughiyrah (Radhiya Allaahu ´anh) alitaka kuvua soksi za ngozi za Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alisema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Ziache. Nilizivaa nikiwa katika hali ya twahara” na hivyo akapangusa juu yake.”
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Buhuuth wa Fataawaa fiyl-Mas´h ´alaal-Khuffayn, katika Majmuu´-ul-Fataawaa (11/158-159)
Imechapishwa: 27/04/2021
https://firqatunnajia.com/03-ni-ipi-hukumu-ya-mtu-anayevua-soksi-kila-akitawadha/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)