201 – ´Abdullaah bin Buraydah amesimulia kutoka kwa baba yake aliyesema:
:أصبحَ رسولُ الله – صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ – يوماً فدعا بلالاً، فقال
“يا بلال! بِمَ سبقتني إلى الجنّة؟ إنني دخلتُ البارحةَ الجنّةَ فسمعت خَشخَشَتكَ أمامي؟”
فقال بلالٌ: يا رسول الله! ما أذَّنتُ قَطُّ إلا صلّيتُ ركعتين، ولا أصابني حَدَثٌ قط إلا توضَّأت عنده. فقال رسول الله – صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ
.”بهذا”
“Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliamka asubuhi akamwita Bilaal na kusema: “Ee Bilaal!” Ni kwa kitu gani umenitangulia Peponi? Hakika mimi jana nimeingia Peponi na nikasikia nyayo zako mbele yangu.” Bilaal akasema: “Ee Mtume wa Allaah! Sijawahi kutoa adhaana kamwe isipokuwa nitaswali Rak´ah mbili baada yake. Na wala sijawahi kuchengukwa na wudhuu´ kamwe isipokuwa nitaswali baada yake.” Ndipo Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akasema: “Ni kutokana na hilo.”[1]
Ameipokea Ibn Khuzaymah katika as-Swahiyh” yake.
[1] Swahiyh.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/199)
- Imechapishwa: 01/01/2024
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
201 – ´Abdullaah bin Buraydah amesimulia kutoka kwa baba yake aliyesema:
:أصبحَ رسولُ الله – صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ – يوماً فدعا بلالاً، فقال
“يا بلال! بِمَ سبقتني إلى الجنّة؟ إنني دخلتُ البارحةَ الجنّةَ فسمعت خَشخَشَتكَ أمامي؟”
فقال بلالٌ: يا رسول الله! ما أذَّنتُ قَطُّ إلا صلّيتُ ركعتين، ولا أصابني حَدَثٌ قط إلا توضَّأت عنده. فقال رسول الله – صَلَّى اللهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ
.”بهذا”
“Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliamka asubuhi akamwita Bilaal na kusema: “Ee Bilaal!” Ni kwa kitu gani umenitangulia Peponi? Hakika mimi jana nimeingia Peponi na nikasikia nyayo zako mbele yangu.” Bilaal akasema: “Ee Mtume wa Allaah! Sijawahi kutoa adhaana kamwe isipokuwa nitaswali Rak´ah mbili baada yake. Na wala sijawahi kuchengukwa na wudhuu´ kamwe isipokuwa nitaswali baada yake.” Ndipo Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akasema: “Ni kutokana na hilo.”[1]
Ameipokea Ibn Khuzaymah katika as-Swahiyh” yake.
[1] Swahiyh.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/199)
Imechapishwa: 01/01/2024
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/03-hadiyth-mtume-wa-allaah-aliamka-asubuhi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)