252 – ´Umar bin al-Khattwaab (Radhiya Allaahu ´anh) amesimulia kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Atakaposema muadhini:
الله أَكْبَرُ اللهُ أَكْبرُ
“Allaah ni mkubwa, Allaah ni mkubwa.”
mmoja wenu akasema:
الله أَكْبَرُ اللهُ أَكْبرُ
“Allaah ni mkubwa, Allaah ni mkubwa.”
kisha akasema:
أَشْهَدُ أَنْ لا إِله إِلا الله
“Nashuhudia ya kwamba hapana mungu wa haki isipokuwa Allaah.”
naye akasema:
أَشْهَدُ أَنْ لا إِله إِلا الله
“Nashuhudia ya kwamba hapana mungu wa haki isipokuwa Allaah.”
kisha akasema:
أَشْهَدُ أَنَّ مُحَمَّداً رَسُولُ الله
“Nashuhudia ya kwamba Muhammad ni Mtume wa Allaah.”
naye akasema:
أَشْهَدُ أَنَّ مُحَمَّداً رَسُولُ الله
“Nashuhudia ya kwamba Muhammad ni Mtume wa Allaah.”
kisha akasema:
حَيَّ عَلى الصلاةِ
“Njooni katika swalah.”
naye akasema:
لا حولَ ولا قوةَ إلا بالله
“Hapana namna wala nguvu isipokuwa kwa msaada wa Allaah.”
kisha akasema:
حيَّ على الفلاح
“Njooni katika mafanikio.”
naye akasema:
لا حولَ ولا قوةَ إلا بالله
“Hapana namna wala nguvu isipokuwa kwa msaada wa Allaah.”
kisha akasema:
الله أَكْبَرُ اللهُ أَكْبرُ
“Allaah ni mkubwa, Allaah ni mkubwa.”
naye akasema:
الله أَكْبَرُ اللهُ أَكْبرُ
“Allaah ni mkubwa, Allaah ni mkubwa.”
kisha akasema:
لا إِله إِلا الله
“Hapana mungu wa haki isipokuwa Allaah.”
naye akasema:
لا إِله إِلا الله
“Hapana mungu wa haki isipokuwa Allaah.”
kutoka moyoni mwake, basi ataingia Peponi.”[1]
Ameipokea Muslim, Abu Daawuud na an-Nasaa´iy[2].
[1] Swahiyh.
[2] Bi maana katika ”´Amal-ul-Yawm wal-Laylah” (40/155). Hadiyth imetajwa katika ”Irwaa’-ul-Ghaliyl” (1/258). Katika Hadiyth kuna ishara juu ya kwamba muadhini anatakiwa kusema:
الله أَكْبَرُ اللهُ أَكْبرُ
“Allaah ni mkubwa, Allaah ni mkubwa.”
mara mbilimbili, na si mara moja, kama wanavofanya waadhini katika baadhi ya miji.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/220-221)
- Imechapishwa: 07/03/2022
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
252 – ´Umar bin al-Khattwaab (Radhiya Allaahu ´anh) amesimulia kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Atakaposema muadhini:
الله أَكْبَرُ اللهُ أَكْبرُ
“Allaah ni mkubwa, Allaah ni mkubwa.”
mmoja wenu akasema:
الله أَكْبَرُ اللهُ أَكْبرُ
“Allaah ni mkubwa, Allaah ni mkubwa.”
kisha akasema:
أَشْهَدُ أَنْ لا إِله إِلا الله
“Nashuhudia ya kwamba hapana mungu wa haki isipokuwa Allaah.”
naye akasema:
أَشْهَدُ أَنْ لا إِله إِلا الله
“Nashuhudia ya kwamba hapana mungu wa haki isipokuwa Allaah.”
kisha akasema:
أَشْهَدُ أَنَّ مُحَمَّداً رَسُولُ الله
“Nashuhudia ya kwamba Muhammad ni Mtume wa Allaah.”
naye akasema:
أَشْهَدُ أَنَّ مُحَمَّداً رَسُولُ الله
“Nashuhudia ya kwamba Muhammad ni Mtume wa Allaah.”
kisha akasema:
حَيَّ عَلى الصلاةِ
“Njooni katika swalah.”
naye akasema:
لا حولَ ولا قوةَ إلا بالله
“Hapana namna wala nguvu isipokuwa kwa msaada wa Allaah.”
kisha akasema:
حيَّ على الفلاح
“Njooni katika mafanikio.”
naye akasema:
لا حولَ ولا قوةَ إلا بالله
“Hapana namna wala nguvu isipokuwa kwa msaada wa Allaah.”
kisha akasema:
الله أَكْبَرُ اللهُ أَكْبرُ
“Allaah ni mkubwa, Allaah ni mkubwa.”
naye akasema:
الله أَكْبَرُ اللهُ أَكْبرُ
“Allaah ni mkubwa, Allaah ni mkubwa.”
kisha akasema:
لا إِله إِلا الله
“Hapana mungu wa haki isipokuwa Allaah.”
naye akasema:
لا إِله إِلا الله
“Hapana mungu wa haki isipokuwa Allaah.”
kutoka moyoni mwake, basi ataingia Peponi.”[1]
Ameipokea Muslim, Abu Daawuud na an-Nasaa´iy[2].
[1] Swahiyh.
[2] Bi maana katika ”´Amal-ul-Yawm wal-Laylah” (40/155). Hadiyth imetajwa katika ”Irwaa’-ul-Ghaliyl” (1/258). Katika Hadiyth kuna ishara juu ya kwamba muadhini anatakiwa kusema:
الله أَكْبَرُ اللهُ أَكْبرُ
“Allaah ni mkubwa, Allaah ni mkubwa.”
mara mbilimbili, na si mara moja, kama wanavofanya waadhini katika baadhi ya miji.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (1/220-221)
Imechapishwa: 07/03/2022
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/03-hadiyth-atakaposema-muadhini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)