Sujuud ya kusahau ni ibara ya sijda mbili ambazo anasujudu mwenye kuswali ili azibe kosa lililopatikana katika swalah yake kwa ajili ya kusahau. Sababu zake ni tatu:
1- Kuzidisha kitu katika swalah.
2 – Kupunguza kitu katika swalah.
3 – Kuwa na shaka juu ya swalah.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sujuud-us-Sahw, uk. 142
- Imechapishwa: 07/04/2022
Sujuud ya kusahau ni ibara ya sijda mbili ambazo anasujudu mwenye kuswali ili azibe kosa lililopatikana katika swalah yake kwa ajili ya kusahau. Sababu zake ni tatu:
1- Kuzidisha kitu katika swalah.
2 – Kupunguza kitu katika swalah.
3 – Kuwa na shaka juu ya swalah.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sujuud-us-Sahw, uk. 142
Imechapishwa: 07/04/2022
https://firqatunnajia.com/02-sababu-tatu-za-sijda-ya-kusahau/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)