590 – Hudhayfah (Radhiya Allaahu ´anh) amesema:
“Nilikuja kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na nikaswali pamoja naye Maghrib; akaswali mpaka ´Ishaa.”[1]
Ameipokea an-Nasaa´iy[2] kwa cheni ya wapokezi nzuri.
[1] Swahiyh.
[2] Bi maana katika ”as-Sunan al-Kubra (8298). Pia ameipokea at-Tirmidhiy, Ibn Hibbaan na wengineo. Kadhalika imetajwa katika “as-Swahiyhah” (02/425). Ahmad (05/404) ameipokea kwa ufupi kwa tamko lisemalo:
“Hakuacha kuendelea kuswali mpaka aliposwali ´Ishaa. Kisha akatoka nje.”
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (01/382)
- Imechapishwa: 30/03/2021
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-
590 – Hudhayfah (Radhiya Allaahu ´anh) amesema:
“Nilikuja kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na nikaswali pamoja naye Maghrib; akaswali mpaka ´Ishaa.”[1]
Ameipokea an-Nasaa´iy[2] kwa cheni ya wapokezi nzuri.
[1] Swahiyh.
[2] Bi maana katika ”as-Sunan al-Kubra (8298). Pia ameipokea at-Tirmidhiy, Ibn Hibbaan na wengineo. Kadhalika imetajwa katika “as-Swahiyhah” (02/425). Ahmad (05/404) ameipokea kwa ufupi kwa tamko lisemalo:
“Hakuacha kuendelea kuswali mpaka aliposwali ´Ishaa. Kisha akatoka nje.”
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Adhwiym bin ´Abdil-Qawiy al-Mundhiriy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (01/382)
Imechapishwa: 30/03/2021
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-
https://firqatunnajia.com/02-hadiyth-nilikuja-kwa-mtume-swalla-allaahu-alayhi-wa-sallam-na-nikaswali-pamoja-naye-maghrib/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)